Friday, December 4, 2020

FAO yaanza na halmashauri 3 kujenga uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa

Mratibu Taifa Dawati la Afya Moja, Ofisi ya Waziri Mkuu, Harrison Chinyuka akifafanua umuhimu wa kutumia Dhana ya Afya moja wakati wa mafunzo wa Kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi hiyo pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Baadhi ya Washiriki kutoka Halmashauri za mikoa ya Arusha, Dar es salaam na Mwanza wakifuatilia mafunzo ya Kuwajengea Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi hiyo pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Mratibu wa Mafunzo kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Tanzania, Elibariki Mwakapeje, akieleza dhamira ya Shirika hilo katika Kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Shirika hilo pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu, mjini Morogoro, kuanziatarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Baadhi ya Washiriki kutoka Halmashauri za mikoaya Arusha, Dar es salaam na Mwanza wakifuatilia mafunzo ya Kuwajengea Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi hiyo pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanziatarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Mtaalumu wa masuala ya Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Gibonce Kayuni akifundisha namna ya kupambana na usugu huo kwenye sekta ya mifugo wakati wa mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Mtaalumu wa masuala ya Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kutoka Chuo kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi- Muhimbili, Hussein Mohamed akifundisha namna ya kupambana na usugu huo kenye Nyanja ya afya ya binadamu,wakati wa mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana yaAfya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali RBA linalojihusisha na kuelimisha jamii kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa, Erick Venant, akifundisha namna kuishirikisha jamii wakati wa mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa wa kijadili mbinu za kupambana na usugu huo wa wakati wa mafunzo yaliyoratibiwa na Ofisiya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO),mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Mtaalumu wa masuala ya Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kutoka Chuo kikuu cha Kilimo Sokoine, Abubakar Hoza akifundisha namna ya kupambana na usugu huo kwa kwenye nyaja ya mifugo wakati wa mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO),mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa wa kijadili mbinu za kupambana na usugu huo wa wakati wa mafunzo yaliyoratibiwa na Ofisiya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO),mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Katibu Tawala Msaidizi (Uchumi), Mkoa wa Dar es salaam, Elizabert Mshote akitoa uzoefu wa shughuli za uratibu kama mshiriki wa mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanziatarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Katibu Tawala Msaidizi (Uchumi), Mkoa wa Arusha, Hargeney Chitukuro akitoa uzoefu wa shughuli za uratibu kama mshiriki wa mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi ya Wazir Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020.
Washiriki na wawezeshaji wa mafunzo ya kuzijengea Halmashauri Uwezo wa kupambana na Usugu wa vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa kwa kutumia Dhana ya Afya moja wakiwa katika picha ya pamoja, Mafunzo yameratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mjini Morogoro, kuanzia tarehe 2 hadi 4 Desemba, 2020. F
Read More