Thursday, January 16, 2020

WAZIRIKAIRUKI ATEMBELEA KIWANDA CHA MIFUKO CHA SAMAKI INVESTMENT BAGAMOYO.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipokea maelezo ya namna mashine zinavyochakata mifuko chakavu na kuzalisha mipya kutoka kwa mmiliki wa Kiwanda cha SAMAKI Investment ltd Bw. Xiaowei Yu kilichopo Bagamoyo mkoa wa Pwani, wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani humo Januari 16, 2020.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akiangalia uzi unaotumika kutengeneza mifuko maarufu kwa jina la viroba inayozalishwa katika kiwanda cha SAMAKI kilichopo Bagamoyo mkoa wa Pwani, kulia kwake ni Katibu Tawala wa Wilaya ya hiyo Bi. Kasilda Mgeni na kushoto ni mmiliki wa Kiwanda hicho Bw. Xiaowei Yu.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo Bi. Kasilda Mgeni akizungumza neno wakati wa mapokezi ya ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki aipotembelea katika kiwanda cha kuchakata mifuko chakavu kilichopo Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza mifuko cha SAMAKI Bw. Xiawei Yu akieleza jambo kwa ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki kuhusu kiwanda chake alipotembelea kujionea utendaji wa kiwanda hicho Januari 16, 2020.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akiangalia namna mifuko ya kubebea bidhaa aina ya (viroba) inavyotengenezwa katika kiwanda cha SAMAKI ltd kilichopo Wilaya ya Bangamoyo mkoa wa Pwani alipotembelea kiwandani hapo ili kujionea na kuzungumza na wawekezaji nchini.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki pamoja watendaji wa Serikali alioongozana nao katika ziara yake, Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete (mwenye t-shit ya kijani) wakiangalia namna mifuko aina ya viroba inavyotengenezwa katika kiwanda cha SAMAKI Investment kilichopo Bagamoyo mkoa wa Pwani. Kushoto mwenye tishiti nyekundu ni mmiliki wa kiwanda hicho Bw. Xiawei Yu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki pamoja na Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo Bi. Kasilda Mgeni wakimsilikiza mmlikiki wa kiwanda cha kuchakata mifuko chakavu cha SAMAKI Investment Bw. Xiawei Yu walipotembelea kiwandani hapo Januari 16, 2020.
Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akiuliza jambo kuhusu uzalishaji wa mifuko kwa mmiliki wa kiwanda cha kuchakata mifuko chakavu cha SAMAKI Bw. Xiawei Yu wa kwanza kushoto wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki walipotembelea kiwandani hapo kuona mazingira ya uzalishaji pamoja na kuzungumza na wawekezaji hao.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia maasuala ya Uwekezaji Mhe Angellah Kairuki akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara yake katika kiwanda cha kuchakata mifuko chakavu na kuzalisha mipya cha SAMAKI Investment kilichopo Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia maasuala ya Uwekezaji Mhe Angellah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Serikali pamoja na wafanyakazi wa kiwanda cha kutengeneneza mifuko cha SAMAKI Investment kilichopo Bagamoyo Mkoa wa Pwani.Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo Bi. Kasilda Mgeni, wa tatu kutoka kulia ni Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.