Friday, January 31, 2020

BUNGENI LEO TAREHE 31.01.2020

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) akizungumza na Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako, Bungeni jijini Dodoma, Januari 31, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Rombo, Joseph  Selasini, bungeni jijini Dodoma, Januari 31, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Sikudhani Chikambo, Bungeni jijini Dodoma, Januari 30, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Rombo, Joseph  Selasini, bungeni jijini Dodoma, Januari 31, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  ambaye pia ni Mbunge wa Ilemela, Angelina Mabula, bungeni jijini Dodoma, Januari 31, 2020. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.