Kwa upande wake, Bi. Mwakatobe ameahidi AICC kuipa Dodoma kipaumbele katika uwekezaji, na kueleza kuwa taasisi hiyo iko tayari kushirikiana na Serikali kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa viwango vya kimataifa.
Home
Archives for October 2025
Wednesday, October 15, 2025
SERIKALI YATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI WA UTALII WA MIKUTANO KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA
✔
OFISI YA WAZIRI MKUU
10/15/2025 09:06:00 PM
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
imetangaza rasmi fursa za uwekezaji katika Mji wa Serikali Mtumba, hususan
katika sekta ya utalii wa mikutano, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kukuza
shughuli za kiuchumi katika Makao Makuu ya Nchi, Dodoma.
Read More
Subscribe to:
Posts (Atom)
MITANDAO YA KIJAMII
Popular Posts
-
Na. OWM, Dodoma. Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, imefanya ukaguzi wa utekelezaji wa sheria Na.5 y...
-
Wataalamu wa Afya moja wakiwa katikapicha ya pamoja wakati wa mkutano wa wataalamu wa Afya moja uliojikita katika ulinzi na usalama...
-
Na. OWM, ARUSHA Wataalam wa sheria kutoka katika sekta ya Afya ya binadamu, Afya ya wanyamapori na mifugo pamoja na mazingira wameshauri...
-
Washiriki wa Mkutano wa mwaka wa Wataalamu wa Maabara wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano wa mwaka kwa wataalam wa maabara w...
-
TAMOBA wafanya wasilisho la mfumo maalum wa kielektroniki wa ulinzi na usalama wa Bodaboda na BajajiKampuni ya Tanzania Motorcycle and Bajaj Association (TAMOBA) imefanya wasilisho maaluum kwa Ofisi ya Waziri Mkuu kuhusu mfumo maalum wa ...
Formulir Kontak
Contributors
Powered by Blogger.