OWM
Thursday, January 29, 2026

WANANCHI KUNUFAIKA NA MRADI WA RAMANI ZETU, SAUTI ZETU

›
  Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imezindua mradi wezeshi wa “Ramani Zetu, Sauti Zetu”, unaolen...
Tuesday, January 27, 2026

DKT. KILABUKO AZINDUA NYARAKA ZA USIMAMIZI WA MAAFA NKASI

›
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. James Kilabuko amezindua nyaraka za usimamizi wa maafa kat...
Friday, January 23, 2026

KAMATI YAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI UBORESHWAJI HUDUMA ZA AFYA

›
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Dkt. Lembulung Lukumay ameipongeza Serikali kwa kuwekeza fedha katika ujenz...
Thursday, January 22, 2026

NDUMBARO AIPONGEZA OFISI YA WAZIRI MKUU KWA UTENDAJI BORA

›
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Damas Daniel Ndumbaro, ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bu...
Wednesday, January 21, 2026

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA VYUO VIKUU KUIMARISHA UWAJIBIKAJI KATIKA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UMMA

›
  Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, kupitia Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Serikali, imesaini Hat...
Tuesday, January 20, 2026

MHE. LIJUALIKALI ATOA NENO KWA KAMATI ELEKEZI YA WILAYA YA USIMAMIZI WA MAAFA

›
  Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Mheshimiwa Peter Lijualikali amepongeza Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu kwa namna iliv...
Monday, January 19, 2026

NKASI YAJENGEWA UWEZO MASUALA YA MENEJIMENTI YA MAAFA

›
Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imewajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Wataalamu ya...

WAJUMBE BARAZA KUU JUMUIYA YA WAZAZI CCM TAIFA WAIPONGEZA SERIKALI KWA UJENZI WA MJI WA SERIKALI MTUMBA

›
  Wajumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, wakiongozwa na Mwenyekiti Fadhili Maganya, wameipongeza Ser...
Monday, December 1, 2025

DAWA ZA KUFUBAZA MAKALI YA VVU (ARV) ZIPO KWA ASILIMIA 100- WAZIRI LUKUVI

›
  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. William Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa za k...
Thursday, November 27, 2025

WANANCHI WAASWA KUWAUNGA MKONO WATU WENYE ULEMAVU

›
  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuwaunga ...
Thursday, October 23, 2025

“WAKUU WA VITENGO VYA UFUATILIAJI NA TATHMINI WA SEKRETARIETI ZA MIKOA WAJENGEWA UWEZO WA MASULA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI NCHINI”

›
  Wakuu vitengo vya Ufuatiliaji na Tathmini kwa Mikoa wajengewa uwezo ili kuimarisha ufanisi katika Ufuatiliaji, Tathimini na upimaji wa Ute...
Wednesday, October 15, 2025

SERIKALI YATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI WA UTALII WA MIKUTANO KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA

›
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) imetangaza rasmi fursa za uwekezaji katika Mji wa Serikali Mtumba, hususan ka...
Monday, September 29, 2025

DKT. YONAZI: TUIMARISHE LISHE, TUPUNGUZE MAGONJWA SUGU

›
  KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amewataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuimarisha hali...
Thursday, September 25, 2025

DKT. YONAZI ATOA WITO WATUMISHI KUBEBA MAONO YA DIRA YA TAIFA 2050

›
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Viongozi, Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya W...
Sunday, September 21, 2025

UBUNIFU UENDELEZAJI MAKAO MAKUU, MJI WA SERIKALI WAHITAJIKA- DKT. YONAZI

›
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amesisitiza ubunifu katika uendelezaji wa Makao Makuu na Mji   Ser...
Tuesday, September 16, 2025

DKT. YONAZI ATANGAZA FURSA ZILIZOPO MAKAO MAKUU YA MJI WA SERIKALI DODOMA NCHINI KOREA.

›
  Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi leo tarehe 16 Septemba, 2025 ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa ...
Saturday, September 6, 2025

AFDP YADHAMIRIA KUONGEZA UPATIKANAJI WA MBEGU BORA NCHINI

›
  Ujumbe wa Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kwa kushirikiana na Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), umesema utae...
Tuesday, September 2, 2025

WAZALISHAJI WA MBEGU MKALAMA WAOMBA SERIKALI KUIMARISHA UFUNGASHAJI

›
  Wazalishaji wa mbegu za alizeti katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, mkoani Singida, wameiomba Serikali kuongeza juhudi katika kuwawez...
Monday, September 1, 2025

DKT. KILABUKO: OFISI YA WAZIRI MKUU ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA IFAD

›
  Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. James Kilabuko, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu ...
Saturday, August 23, 2025

SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.

›
  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano...
Thursday, August 21, 2025

SERIKALI YAENDELEA NA JITIHADA ZA UOKOAJI MGODI WA NYANDOLWA

›
Imeelezwa kuwa, jitihada za kuendelea kuokoa maisha baada ya ajali ya mgodi kutokea eneo la Nyandolwa Mkoani Shinyanga zinaendelea usiku na ...

SERIKALI YA ZAMBIA YAPATA MAFUNZO KUTOKA TANZANIA: YAPONGEZA UJENZI WA MJI WA SERIKALI DODOMA

›
Maofisa waandamizi kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Zambia wametembelea Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, kwa leng...
Saturday, August 16, 2025

UZINDUZI WA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI ZANZIBAR WAFANA

›
Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. Ummy Nderiananga, ameshiriki katika hafla ya uzinduzi wa mfumo wa anuani...
›
Home
View web version

Contributors

  • OFISI YA WAZIRI MKUU
  • pmohabari@gmail.com
Powered by Blogger.