OWM
Thursday, May 14, 2026

JUMUIYA YA UMOJA WA ULAYA YASHIRIKIANA (EU) NA SERIKALI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI KIGOMA.

›
  Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge na Uratibu na wenye Ulemavu kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU)...
Wednesday, May 13, 2026

TANZANIA YATOA SOMO KWA NCHI ZA SADC KUHUSU USIMAMIZI WA MAAFA

›
  TANZANIA imeendelea kung’ara katika Ukanda wa Kusini mwa Afrika baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa mifumo madhubuti ...
Tuesday, May 12, 2026

NAIBU WAZIRI MMUYA AWASILI ZIMBABWE KUSHIRIKI MKUTANO WA SITA WA MASUALA YA MAAFA NCHINI ZIMBABWE

›
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Kaspar Mmuya (Mb), amewasili nchini Zimbabwe kushiriki Mkutano wa Sita (6) wa Kawa...

SERIKALI YAPOKEA VIFAA VYA TEHAMA KUIMARISHA MFUMO WA KUKABILIANA NA MAAFA

›
  Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa imepokea vifaa vya TEHAMA vyenye thaman...
Monday, May 11, 2026

TANZANIA KUENDELEA KUTUMIA AKILI UNDE KATIKA KUKABILIANA NA MAAFA

›
TANZANIA imesema itaendelea kutumia teknolojia ya Akili Unde (AI) katika kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kuongeza ufanisi...
Wednesday, May 6, 2026

URASIMISHAJI WA UKALIMANI WA LUGHA YA ALAMA WASISITIZWA

›
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Ummy H. Nderiananga (Mb), amesisitiza umuhimu wa kuhara...
Friday, May 1, 2026

OFISI YA WAZIRI MKUU YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2026 DODOMA

›
Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) wameungana na watumishi wengine wa Serikali kusherehekea Siku ya W...
Thursday, April 30, 2026

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA PD-MIS MKOANI ARUSHA

›
  Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu imehimiza watendaji wa Halmashauri zote za Jiji la Arusha matu...
Wednesday, April 29, 2026

SERIKALI YASISITIZA USHIRIKI WA VIJANA KATIKA UKUAJI WA UCHUMI

›
Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo, kwa lengo la...

KAGERA KUNUFAIKA NA MPANGO WA MKOA WA AFYA MOJA

›
KAIMU Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Bw. Salum Kimbau amesema maandalizi ya Mpango wa Afya Moja kwa mkoa wa Kagera utaunufaisha mkoa huo kwa...
Tuesday, April 28, 2026

SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA MATUMIZI YA MFUMO WA PD-MIS KWA WATENDAJI ARUSHA

›
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imeendelea kuimarisha huduma kwa watu wenye ulemavu kwa kutoa ...
Saturday, April 18, 2026

WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU WAJENGEWA UWEZO UENDESHAJI HUDUMA NATIONAL CALL CENTER

›
Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) wamejengewa uwezo katika usimamizi wa mawasiliano kwa wananchi na m...
Friday, April 17, 2026

SERIKALI YAKUTANA NA WADAU KUJADILI MIKAKATI YA KUIMARISHA MASLAHI YA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA

›
  Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imekutana na Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu, vio...
Monday, April 13, 2026

DKT. MANYATTA:NGUVU YA PAMOJA YATAKIWA KATIKA MAFANIKIO YA DHANA YA AFYA MOJA

›
  Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Afya Moja kutoka Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu inayoshughulikia masuala ya Sera, Bunge...
Thursday, April 9, 2026

PROF. KABUDI AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA

›
  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe.   Prof. Palamagamba Kabudi amekutana na Mjumbe Maalum w...

MAKATIBU WAKUU WAKUTANA KUJADILI HALI YA UPATIKANAJI WA MAFUTA

›
  Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. Jim Yonazi, ameongoza kikao cha Makatibu Wakuu kilicholeng...

SERIKALI YAZINDUA KIKOSI KAZI CHA TAIFA CHA UFUATILIAJI, TATHMINI NA UTOAJI TAARIFA

›
  Serikali imezindua Kikosi Kazi cha Taifa cha Ufuatiliaji, Tathmini na Utoaji Taarifa (ME&R National Task Force) kwa lengo kuratibu ute...
Wednesday, April 8, 2026

WATENDAJI OFISI YA WAZIRI MKUU WAKUMBUSHWA KUIMARISHA WELEDI KUTIMIZA DIRA YA TAIFA 2050

›
Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu wamekumbushwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, ufanisi na kujituma ili kuhakikisha wanachangi...

WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BUNGE MHE. ZUNGU

›
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Profesa Palamagamba Kabudi (Mb), amekutana na Spika wa Bunge l...
Wednesday, April 1, 2026

MAKATIBU WAKUU OFISI YA WAZIRI MKUU WAKIFUATILIA HOTUBA YA BAJETI

›
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Dkt. Jim Yonazi (kushoto), Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi...
Tuesday, March 31, 2026

WANANCHI IDODI WAMLILIA LUKUVI

›
  WANANCHI wamlilia aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Isimani Marehem...
Monday, March 30, 2026

MISA YA KUOMBEA NA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MHE. LUKUVI MKOANI IRINGA

›
MISA Takatifu ya kuuaga Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo l...
Sunday, March 29, 2026

MWILI WA MAREHEMU MHE. LUKUVI UKIWASILI KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA IRINGA

›
Mwili wa aliekuwa  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Mhe. William...
‹
›
Home
View web version

Contributors

  • OFISI YA WAZIRI MKUU
  • pmohabari@gmail.com
Powered by Blogger.