OWM
Monday, December 1, 2025

DAWA ZA KUFUBAZA MAKALI YA VVU (ARV) ZIPO KWA ASILIMIA 100- WAZIRI LUKUVI

›
  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. William Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa za k...
Thursday, November 27, 2025

WANANCHI WAASWA KUWAUNGA MKONO WATU WENYE ULEMAVU

›
  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuwaunga ...
Thursday, October 23, 2025

“WAKUU WA VITENGO VYA UFUATILIAJI NA TATHMINI WA SEKRETARIETI ZA MIKOA WAJENGEWA UWEZO WA MASULA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI NCHINI”

›
  Wakuu vitengo vya Ufuatiliaji na Tathmini kwa Mikoa wajengewa uwezo ili kuimarisha ufanisi katika Ufuatiliaji, Tathimini na upimaji wa Ute...
Wednesday, October 15, 2025

SERIKALI YATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI WA UTALII WA MIKUTANO KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA

›
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) imetangaza rasmi fursa za uwekezaji katika Mji wa Serikali Mtumba, hususan ka...
Monday, September 29, 2025

DKT. YONAZI: TUIMARISHE LISHE, TUPUNGUZE MAGONJWA SUGU

›
  KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amewataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuimarisha hali...
Thursday, September 25, 2025

DKT. YONAZI ATOA WITO WATUMISHI KUBEBA MAONO YA DIRA YA TAIFA 2050

›
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Viongozi, Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya W...
Sunday, September 21, 2025

UBUNIFU UENDELEZAJI MAKAO MAKUU, MJI WA SERIKALI WAHITAJIKA- DKT. YONAZI

›
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amesisitiza ubunifu katika uendelezaji wa Makao Makuu na Mji   Ser...
Tuesday, September 16, 2025

DKT. YONAZI ATANGAZA FURSA ZILIZOPO MAKAO MAKUU YA MJI WA SERIKALI DODOMA NCHINI KOREA.

›
  Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi leo tarehe 16 Septemba, 2025 ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa ...
Saturday, September 6, 2025

AFDP YADHAMIRIA KUONGEZA UPATIKANAJI WA MBEGU BORA NCHINI

›
  Ujumbe wa Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kwa kushirikiana na Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), umesema utae...
Tuesday, September 2, 2025

WAZALISHAJI WA MBEGU MKALAMA WAOMBA SERIKALI KUIMARISHA UFUNGASHAJI

›
  Wazalishaji wa mbegu za alizeti katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, mkoani Singida, wameiomba Serikali kuongeza juhudi katika kuwawez...
Monday, September 1, 2025

DKT. KILABUKO: OFISI YA WAZIRI MKUU ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA IFAD

›
  Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. James Kilabuko, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu ...
Saturday, August 23, 2025

SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.

›
  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano...
Thursday, August 21, 2025

SERIKALI YAENDELEA NA JITIHADA ZA UOKOAJI MGODI WA NYANDOLWA

›
Imeelezwa kuwa, jitihada za kuendelea kuokoa maisha baada ya ajali ya mgodi kutokea eneo la Nyandolwa Mkoani Shinyanga zinaendelea usiku na ...

SERIKALI YA ZAMBIA YAPATA MAFUNZO KUTOKA TANZANIA: YAPONGEZA UJENZI WA MJI WA SERIKALI DODOMA

›
Maofisa waandamizi kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Zambia wametembelea Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, kwa leng...
Saturday, August 16, 2025

UZINDUZI WA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI ZANZIBAR WAFANA

›
Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. Ummy Nderiananga, ameshiriki katika hafla ya uzinduzi wa mfumo wa anuani...
Thursday, August 14, 2025

MAKATIBU WAKUU WATETA MIKAKATI YA KUENDELEZA SAFARI CHANNEL YA TBC

›
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. James Kilabuko, ameongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalim...
Tuesday, August 12, 2025

ZANZIBAR YACHOTA UZOEFU DODOMA: YAJIANDAA KUJENGA MJI WA SERIKALI KISAKASAKA

›
  Kamati ya wataalamu kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ikiingozwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Dkt. Islam...
Monday, August 4, 2025

HELEN KELLER INTERNATIONAL KUSHIRIKIANA NA OFISI YA WAZIRI MKUU KUIMARISHA URATIBU WA LISHE NCHINI

›
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Bi. Stella Mwaisaga, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Bo...
Wednesday, July 30, 2025

SERIKALI KUWEKEZA KATIKA UVUVI WA BAHARI KUU

›
Mkurugenzi wa Uratibu wa Shughuli za Serikali kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Paul Sangawe ameongoza Kikao cha Kamati ya Wataalamu kuhusu ma...
Monday, July 28, 2025

JITIHADA ZA PAMOJA ZINAHITAJIKA KUPAMBANA NA UDUMAVU – DKT. YONAZI

›
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Serikali na wadau kushirikiana kwa karibu kat...
Wednesday, July 23, 2025

KAMATI YA MAKATIBU WAKUU YARIDHISHWA NA UJENZI WA UWANJA MPYA WA MPIRA JIJINI ARUSHA

›
  Kamati ya Makatibu Wakuu inayoongozwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, imekagua na kuridh...

WAZIRI LUKUVI AWAPONGEZA MALIASILI KWA KUTEKELEZA MAONO YA MHE. RAIS SAMIA

›
  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kutekeleza ki...
Tuesday, July 22, 2025

MIUNDOMBINU YA MICHEZO ZANZIBAR YAVUKA KIWANGO CHA KIMATAIFA KUELEKEA CHAN

›
Serikali imeridhishwa na maandalizi ya miundombinu ya michezo Zanzibar kuelekea Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN...
›
Home
View web version

Contributors

  • OFISI YA WAZIRI MKUU
  • pmohabari@gmail.com
Powered by Blogger.