Thursday, January 13, 2022

Katibu Mkuu Nzunda Akabidhi Rasmi Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Makatibu Wakuu Wapya

 

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Tixon Nzunda akizungumza na menejimenti ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi ya Waziri Mkuu katika ukumbi wa Ofisi hiyo Dodoma.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia sekta ya Mifugo Bw. Tixon Nzunda akimkabidhi nyaraka Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Dkt. John Jingu wakati wa hafla ya makabidhiano rasmi ya ofisi hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (ngome) Jijini Dodoma.


Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia sekta ya Mifugo Bw. Tixon Nzunda akimkabidhi nyaraka Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Prof. Jamal Katibu wakati wa hafla ya makabidhiano rasmi ya ofisi hiyo iliyofanyika katika Januari 13, 2022  Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.