Thursday, November 12, 2020

RAIS MAGUFULI AMPENDEKEZA KASSIM MAJALIWA KUWA WAZIRI MKUU

 

Mbunge wa Jimbo la Newala Mjini, Kepteni Mstaafu George Mkuchika  akitoa pongezi kwa Waziri Mkuu Mteule Kassim Majaliwa baada ya jina lake kupendekezwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 12, 2020

Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi  akitoa pongezi kwa Waziri Mkuu Mteule Kassim Majaliwa baada ya jina lake kupendekezwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 12, 2020

Waziri Mkuu Mteule na mbunge wa jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa akitoa shukrani kwa Rais Dkt. Magufuli kwa kumpendekeza kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kupitishwa na wabunge kwa asilimia mia moja, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 12, 2020.

Waziri Mkuu Mteule na mbunge wa jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa akitoa shukrani kwa Rais Dkt. Magufuli kwa kumpendekeza kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kupitishwa na wabunge kwa asilimia mia moja, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 12, 2020.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof. Adelardus Kilangi akisoma wasifu wa Waziri Mkuu Mteule Kassim Majaliwa baada ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kumpendekeza kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni Jijini Dodoma, Novemba 12, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.