Tuesday, June 27, 2023

MUONGOZO WA UTEKELEZAJI WA DHANA YA AFYA MOJA WAJADILIWA

Mratibu wa Maafa kutoka Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Bw. Mololo Noah  akiongoza kikao cha Kuthibitisha Muongozo wa Utekelezaji wa  dhana ya Afya Moja. Kikao hiki kilihusisha washiriki kutoka sekta ya Afya, Mifugo, Mazingira, Wanyamapori, BAKITA na mashirika ya Umoja wa Kimataifa. Kikao kilifanyika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya regency  Mkoani Singida


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.