Friday, April 28, 2023

WAZIRI MHAGAMA KATIKA KIKAO CHA BUNGE CHA 15

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na Sera Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.  Pauline Gekul Wakati wa Bunge la 12 Mkutano wa 11Kikao cha 15 Mjini Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.