Friday, July 3, 2020

MAJALIWA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR ES SALAAM

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipunga baada ya kukata utepe wakati alipofungua  Maonyesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya  Dar es salaam , Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Julai 3, 2020. Wengine pichani kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda, Mhandisi Stella Manyanya, Waziri wa Biashara na Viwanda, Innocent Bashungwa,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro na kulia ni Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mashine ya kuranda na kuweka urembo kwenye mbao wakati alipotembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogovidogo (SIDO) kabla ya kufungua Maonyesho  ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya  Dar es salaam , Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Julai 3, 2020. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa na wa tatu kulia ni Kaimu Mkurugenzi  wa Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogovidogo (SIDO), Shoma Kibende.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kufungua Maonyesho  ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Nnee ya Dar es salaam, Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Julai 3, 2020.Wengine pichani kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda, Mhandisi Stella Manyanay, Waziri wa Biashara na Viwanda, Innocent BashungwaNaibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro na kuliani Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Maonyesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya  Dar es salaam , Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Julai 3, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Maonyesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya  Dar es salaam , Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Julai 3, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Maonyesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya  Dar es salaam , Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Julai 3, 2020.



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.