Tuesday, June 30, 2020

TIMU YA WATAALAMU YAENDESHA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UELEWA WADAU KUHUSU HIFADHI YA JAMII

Baadhi ya wadau waliohudhuria mafunzo hayo wakiwa wamewaka daftari “Notebook” kichwani kama ishara ya kumkinga wananchi na changamoto mbalimbali.
Mtaalamu wa Kinga ya Jamii, Dkt. Flora Miyamba akitoa mada kwa wadau kuhusu masuala ya Kinga ya Jamii.
Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka TAMISEMI, Bi. Mariam Nkumbwa (kushoto) akichangia mada wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa PSSSF, Jijini Dodoma.
Sehemu ya wadau wakijadili jambo wakati wa mafunzo hayo ya kuwajengea uelewa kuhusu masuala hifadhi ya jamii.

Sehemu ya wadau wakijadili jambo wakati wa mafunzo hayo ya kuwajengea uelewa kuhusu masuala hifadhi ya jamii.
Mchumi Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi. Sarah Mshui akieleza jambo kuhusu masuala ya Hifadhi ya Jamii kwa wadau walipokutana kwa ajili ya mafunzo maalumu ya kujengewa uelewa kuhusu Kinga ya Jamii katika Ukumbi wa Mikutano wa PSSSF, Jijini Dodoma.
Afisa Maendeleo ya Jamii, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bi. Herieth Mwamba (kushoto) akieleza jambo wakati wa mkutano huo.   



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.