Wednesday, June 24, 2020

ZIARA YA MAJALIWA RUANGWA JUNI 24

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama picha yake iliyochorwa na Tabibu wa Meno wa Kituo cha Afya cha Kingorwila Morogoro, Sanjame Kayoka  wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Nachingwea, Wilayani Ruangwa Juni 24, 2020. 
Mwimbaji wa nyimbo za Sengeli, Hassan marufu kwa jina la  Dogo H akitumbuiza wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipohutubia mkutano wa hadhara katika kata ya Nachingwea, Wilayani Ruangwa, Juni 24, 2020. 
Mwimbaji wa nyimbo za Sengeli, Hassan marufu kwa jina la  Dogo H akitumbuiza wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipohutubia mkutano wa hadhara katika kata ya Nachingwea, Wilayani Ruangwa, Juni 24, 2020. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia wimbo kutoka kwa mwimbaji wa nyimbo za Sengeli, Hassan maarufu kwa jina la Dogo H. wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Nachingwea, Wilayani Ruangwa Juni 24, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea picha yake iliyochorwa na Tabibu wa Meno wa Kituo cha Afya cha Kingorwila Morogoro, Sanjame Kayoka (kulia) wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Nachingwea, Wilayani Ruangwa Juni 24, 2020. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama picha yake iliyochorwa na Tabibu wa Meno wa Kituo cha Afya cha Kingorwila Morogoro, Sanjame Kayoka (kulia) wakati alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Nachingwea,Wilayani Ruangwa Juni 24, 2020. 




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.