Wednesday, June 17, 2020

MAJALIWA ATIA SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI, PIERRE NKURUNZIZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre  Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.  
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akitoa heshima baada ya kutia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Burundi nchini , Mhe. Abayeho Gervais  baada ya kutia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha  aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Burundi nchini , Mhe. Abayeho Gervais  baada ya kutia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha  aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.