Tuesday, June 23, 2020

VIJANA WATAKIWA KUTUMIA UJUZI WA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Mbunge Mstaafu wa Babati Vijijini Mhe. Virajilal Jituson akieleza jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama alipofanya ziara katika Mkoa huo kukagua maendeleo ya mafunzo ya kilimo cha kisasa yanayotolewa kwa vijana kupitia Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi inayoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Afisa Kilimo, Bi. Mary Temu (wa tatu kutoka kushoto) akitoa maelezo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama namna wanavyohifadhi mbolea katika madumu kabla ya kuwekwa kwenye kitalu nyumba “Greenhouse”.

Mkuu wa Wilaya ya Manyara, Bi. Elizabeth Kitundu (kushoto) akieleza jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (wa tatu kutoka kushoto) alipofanya ziara mkoani humo kukagua mafunzo waliyopatiwa vijana kupitia kilimo ha kisasa.

Baadhi ya vijana wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipowatembelea vijana hao kukagua maendeleo ya mafunzo waliyopatiwa kupitia kilimo cha kisasa kwa kutumia teknolojia ya kitalu nyumba.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kushoto) akizungumza na viongozi wa mkoa wa Manyara alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya mafunzo ya kilimo cha kisasa wanayopatiwa vijana kupitia teknolojia ya kitalu nyumba “Greenhouse”, Mkoani Manyara.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akieleza jambo alipokuwa akikagua kitalu nyumba kilichopo Nangara, Mkoani Babati. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Manyara Bi. Elizabeth Kitundu.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kutoka kushoto) akiangalia bustani iliyotengenezwa na vijana alipokuwa akikagua mafunzo ya kilimo cha kisasa wanayopatiwa vijana hao. Kushoto ni Mbunge Mstaafu wa Babati Vijijini Mhe. Virajilal Jituson.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (katikati) akitoa maelekezo kwa viongozi wa Mkoa wa Manyara alipokuwa akikagua maendeleo ya mafunzo ya kilimo cha kisasa kupitia teknolojia ya kitalu nyumba, Mkoani Manyara.


Muonekano wa Kitalu Nyumba “Greenhouse” iliyopo Matufa katika Kata ya Magugu.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.