Tuesday, January 31, 2017

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


TAARIFA KWA UMMA


Ofisi ya Waziri Mkuu  inapenda kuwatangazia umma wa watanzania pamoja na Wadau wake wote kwa ujumla kwamba, kuanzia Tarehe 1/2/2017  Anuani ya Ofisi ya Waziri Mkuu  itakayo tumika ni  :

 “OFISI YA WAZIRI MKUU,
S.L.P. 980 DODOMA,
      SIMU: 026 2322480.
           Barua pepe: ps@pmo.go.tz.”

Badala ya anuani  ya sasa ambayo ni

“OFISI YA WAZIRI MKUU
S.L.P 3021 DAR ES SALAAM,
TANZANIA.”

Hii ni kutokana na viongozi na watendaji wakuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu  kuhamia Makao Makuu ya Serikali Dodoma.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
OFISI YA WAZIRI MKUU

31/1/2017


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.