Tuesday, January 31, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIMSIKILIZA MBUNGE WA IRAMBA MASHARIKI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa(MB) akimsikiliza  Mbunge wa Iramba Mashariki Mheshimiwa Allan Kiula wakati walipo kutana katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma Waziri Mkuu yupo Mkoani Dodoma katika kushiriki Mkutano wa Sita wa Bunge la Kumi na moja amabao umeanza leo Tarehe 31 January 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.