Thursday, January 5, 2017

WAZIRI MKUU AWATAKA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA WILAYA YA SONGEA KULINDA VYANZO VYA MAJI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo ya mradi wa maji  kutoka kwa mkurugenzi wa Halimashauri ya  Madaba Bwana Safi Mpenda,Waziri Mkuu amezindua mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea leo 05 Desemba,2017  mradi ambao unauwezo wa kutoa lita 200,000(laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu  5,000(Elfu tano) 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimtwisha ndoo ya majai Bibi Leonara Kibuno ikiwa ni ishara ya uzinduzi  wa mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea  mradi ambao unauwezo kutoa lita 200,000 (laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu 5,000(Elfu tano) katika Halimashauri ya madaba Songea.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwa hutubia wananchi wa halimashauri ya Madaba leo Desemba 5,2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.