Thursday, May 23, 2019

BUNGENI LEO 23.05.2019

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla  akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi  ya Wazara  yake kwa Mwaka 2019/2020, Bungeni jijini Dodoma, Mei 23, 2019. 
Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele akizungumza Bungeni jijini Dodoma, Mei 23, 2019. 
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Stella  Ikupa (aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Time ya Taifa ya Soka  ya Walemavu- Tembo Worriors kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 23, 2019.  Waliosimama,  wa tatu  kushoto ni Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto, wa tatu kulia ni Mbunge wa Urambo, Margareth Sitta na wa nne kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Amina Mollel.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.