Sunday, May 19, 2019

WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUSAIDIA MAANDALIZI YA MASHINDANO YA SOKA KWA WENYE ULEMAVU AFRIKA MASHARIKI

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa) pamoja na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye ulemavu Mhe. Stella Ikupa (wa pili kutoka kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wabungu wa kamati iliyojitolea kuhamasisha ushiriki wa Watanzania katika mashindano hayo, mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mashindano ya Shirikisho la mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika  mwishoni mwa mwezi Juni mwaka na kushirikisha nchi 5 wanachama.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu Wenye Ulemavu mhe. Stella Ikupa akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari  kuhusu mashindano ya Shirikisho la mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika  mwishoni mwa mwezi Juni mwaka na kushirikisha nchi 5 wanachama wakati wa mkutano huo.
Mbunge wa Sengerema mhe. William Ngeleja,ambaye pia ni mwenyekiti wa klabu ya michezo ya Bunge akichangia jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari ili kuhamasisha jamii kushiriki katika mashindano ya Shirikisho la mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika  mwishoni mwa mwezi Juni mwaka na kushirikisha nchi 5 wanachama.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.