Thursday, May 30, 2019

MAJALIWA AITISHA MKUTANO WA DHARURA WA BAADHI YA WADAU WA ZAO LA PAMBA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika mkutano wa  dharura wa baadhi ya wadau wa zao la pamba aliouiitisha kwenye Ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza, Mei 29, 2019. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela na kushoto ni Naibu Waziri wa Kilimo, Innocent Bashungwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi  wa Maendeleo wa Wilaya  zinazolima zao la pamba katika mkutano wa dharura wa baadhi ya wadau wa zao la pamba kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza, Mei 29, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika mkutano wa dharura wa baadhi ya wadau wa zao la pamba aliouiitisha kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza, Mei 29, 2019.  Katikati ni Naibu Waziri wa  Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya na kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika mkutano wa dharura wa baadhi ya wadau wa zao la pamba aliouiitisha kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza, Mei 29, 2019.  Kulia ni Naibu Waziri wa Biashara na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya na katikati ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa dharura wa baadhi ya wadau wa zao la pamba wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa wakati alipozungumza katika mkutano  aliouitisha kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza, Mei 29, 2019.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa dharura wa baadhi ya wadau wa zao la pamba wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa wakati alipozungumza katika mkutano  aliouitisha kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza, Mei 29, 2019.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.