Tuesday, May 21, 2019

MAJALIWA AIWAKILISHA SERIKALI KATIKA MAZISHI YA ASKOFU MSTAAFU WA JIMBO KATOLIKI LA MTWARA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza katika  Mazishi ya Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Mtwara,Mhashamu Gebriel Mmole kwenye Kanisa Kuu la Watakatifu Wote mjini Mtwara, Mei 21, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Askofu wa Jimbo Katoliki la Mtwara, Titus Joseph Mdoe katika mazishi ya Askofu Mstaafu wa Jimbo Katolki la Mtwara, Mhashamu Gabriel Mmole yaliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la Watakatifu Wote mjini Mtwara, Mei 21, 2019.
Waombolezaji wakiuweka kaburini mwili wa Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Mtwara, Mhashamu Gabriel Mmole katika mazishi yaliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la Watakatifu  Wote mjini Mtwara, Mei 21, 2019.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka udongo  kwenye kaburi la Askofu Mstaafu wa Jimbo la Mtwara, Mhashamu Gebriel Mmole katika mazishi yaliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la Watakatifu Wote mjini  Mtwara, Mei 21, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mheshimiwa Benjamin Mkapa  wakishiriki katika Ibada ya mazishi ya Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoloki la Mtwara, Mhashamu, Gabriel Mmole  iliyoongozwa na Askofu wa Jimbo la Mtwara,Titus  Mdoe (kushoto)  kwenye Kanisa Kuu la Watakatifu Wote mjini Mtwara, Mei 21, 2019.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiweka shada la maua kwenye kaburi la Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Mtwara, Mhashamu, Gabriel Mmole katika mazishi yaliyofanyika kwenye Kanisa la Watakatifu Wote mjini Mtwara, Mei 21, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Mtwara, Mhashamu Gabriel Mmole katika mazishi yaliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la Watakatifu Wote Mjini Mtwara, Mei 21, 2019. Kulia ni Askofu wa Jimbo la Geita na  Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Flavian Kasalla.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.