Wednesday, September 2, 2020

MAJALIWA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MAGUGU

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Magugu wilayani Babati waliojipanga  barabarani wakimtaka asimame  na kuzungumza nao, Agosti 2, 2020.  Alikuwa  akitoka Babati kwenda Mto wa Mbu wilayani Monduli kuzindua Kampeni za CCM wilayani humo.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Magugu wilayani Babati waliojipanga  barabarani wakimtaka asimame  na kuzungumza nao, Agosti 2, 2020.  Alikuwa  akitoka Babati kwenda Mto wa Mbu wilayani Monduli kuzindua Kampeni za CCM wilayani humo.

 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.