Wednesday, September 30, 2020

MKURUGENZI WA SERA NA MIPANGO OFISI YA WAZIRI MKUU ASTAAFU UTUMISHI WA UMMA

 

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Packshard Mkongwa akipokea zawadi kutoka kwa Bi. Dorothy Mwaluko,Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Wakati wa sherehe fupi ya kuagwa rasmi na Uongozi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bwana Mkongwa amestaafu rasmi Utumishi wa umma kuanzia tarehe 30.09.2020.

 

 



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.