Tuesday, June 6, 2017

WAZIRI MKUU AZINDUA USAMBAZAJI VIFAA KUFUNDISHIA SAYANSI

Waziri  Mkuu  Kassim  Majaliwa  akiangalia Mtoto wa Darasa la asaba Uhuru  Mchanganyiko Mariana  Alex  Mwenye  ulemavu  wa macho, anavyo weza kuandika  kwakutumia  mashine  maalumu  ya kuandika, June 6 2017 Waziri  Mkuu  alikabidhi  vifaa  vya Kujifunzia   katika shule mbali mbali hapa Nchini Shughuli hiyo imefanyika  Jijini  Dar es salaam

Waziri  Mkuu  Kassim  Majaliwa  akijaribu  kuandika  kwa kutumia  kifaa maalumu  cha kujifunzia  kuandika  watoto wenye Ulemavu  wa  Macho leo 6 june 2017, Kulia ni Waziri wa Elimu na Sayansi  Profesa  Joyce  Ndalichako, Waziri  Mkuu  alikabidhi  vifaa  vya Kujifunzia   katika shule mbalimbali hapa Nchini Shughuli hiyo imefanyika  Jijini  Dar es salaam. 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Ofisa wa Banki ya Dunia anayeshughulikia  Elimu  nchini  Tanzania  Bibi  Cornelia  Jesse , katikati ni Ofisa  wa  Ubalozi Swiden Nchini Tanzania  anayeshughulikia Elimu Bibi Helena  Reutersward , Maofisa hao walishiriki katika  Uzinduzi  wa Usambaziji  vifaa   vya  kufundishia  Masomo ya  Sayansi , Shughuli hiyo ilifanyika leo 6 june 2017  katika  Viwanja  vya  Jeshi  Lugalo  Dar es salaam.






EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.