Saturday, October 14, 2017

RAIS MAGUFULI AKABIDHI TAARIFA YA MWENGE KWA UTEKELEZAJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera, Binge na Watu kwenye Ulemavu) taarifa ya Mbio za Mwenge kwa mwaka huu, Leo tarehe 15 Oktoba, 2017, Zanzibar. Jana tarehe 14, Oktoba , 2017, Mhe. Rais aliahidi kuhakikisha taarifa hiyo inatekelezwa kikamilifu .


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.