Tuesday, October 24, 2017

WATUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU WAJENGEWA UWEZO KUKABILI MAAFA

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Issa Nchasi akifungua Warsha ya siku moja kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) iliyofanyika Oktoba 24, 2017 Dodoma Warsha hiyo iliandaliwa na Taasisi ya Africa Risk Capacity (ARC) iliyopo chini ya Umoja wa Afrika

Mkuu wa Huduma kwa Serikali kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika kutoka Shirika la “Africa Risk Capacity” Bi. Lucy Nyirenda akieleza umuhimu wa Bima za Majanga kwa wajumbe walioudhuria warsha ya kujengewa uwezo kuhusu Gharama za  Maafa na Matumizi ya Bima za Majanga iliyofanyika Mjini Dodoma Oktoba 24, 2017

Mkuu wa Huduma kwa Serikali kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika kutoka Shirika la “Africa Risk Capacity” Bi. Lucy Nyirenda akifafanua jambo wakati wa Warsha ya Kugharamia Maafa na Matumizi ya Bima za Majanga iliyofanyika Mjini Dodoma kwa lengo la kutoa elimu kwa Watumishi wa Serikali juu ya masuala ya Maafa.

Meneja Kanda ya Kati Mamlaka ya BIMA Tanzania Bi. Stella Rutaguza akichangia hoja kuhusu umuhimu wa Bima za Majanga wakati wa Warsha ya siku moja juu ya Kugharamia Maafa na Matumizi ya Bima za Majanga iliyoandaliwa na Taasisi ya Africa Risk Capacity kushirikiana na Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.

Washiriki wa Warsha ya Kugharamia Maafa na Matumizi ya Bima za Majanga wakifuatilia mada iliyowasilishwa na Mkuu wa Huduma kwa Serikali kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika kutoka Shirika la “Africa Risk Capacity” Bi. Lucy Nyirenda Mjini Dodoma Oktoba 24, 2017.

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Issa Nchasi (wanne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha  hiyo mapema leo mjini Dodoma


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.