Friday, August 21, 2020

MAJALIWA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE WA RUANGWA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Ruangwa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)  kutoka kwa Frank Chonya ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ruangwa, Agosti 21, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.