Thursday, August 13, 2020

MAJALIWA AKAGUA UKARABATI WA BARABARA YA SOMANGA - MBWEMKURU KATIKA KIJIJI CHA MTANDI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa barabara ya Somanga – Mbwemkuru katika kijiji cha  Mtandi Kata ya Kiranjeranje wilayani Kilwa , Agosti 13, 2020. Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch.Elius Mwakalinga.
 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.