Thursday, August 13, 2020

MAJALIWA ASALIMIANA NA WANANCHI WA MTAMA AKIWA NJIANI KWENDA RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana  na wananchi wa Mtama waliojitokeza kumlaki barabarani wakiongozwa na Mbunge aliyemaliza muda wake, Nape Nnauye, Agosti 13,2020.  Mheshimiwa Majaliwa alikuwa akitoka Dar es salaam kwenda Ruangwa.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana  na wananchi wa Mtama waliojitokeza kumlaki barabarani wakiongozwa na Mbunge aliyemaliza muda wake, Nape Nnauye, Agosti 13,2020.  Mheshimiwa Majaliwa alikuwa akitoka Dar es salaam kwenda Ruangwa.

 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.