Monday, August 17, 2020

MAJALIWA AZUNGUMZA KATIKA MAHAFALI YA VYUO NA VYUO VIKUU JIJINI DAR ES SALAAM

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Mic Mdegela ambaye ni Mwanachuo wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere anayesoma kozi ya Menejimenti ya  Rasilimaliwatu baada ya kuzungumza  na kutoa vyeti katika Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu vya jijini Dar es salaam yaliyofanyika  kwenye kumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, Agosti 17, 2020. Kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, Kheri James.
MAJALIWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Mic Mdegela ambaye ni Mwanachuo wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere anayesoma kozi ya Menejimenti ya  Rasilimaliwatu baada ya kuzungumza  na kutoa vyeti katika Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu vya jijini Dar es salaam yaliyofanyika  kwenye kumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, Agosti 17, 2020. Kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, Kheri James.

Wanavyuo wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza katika  Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu vya  jijini Dar es salaam yaliyofanyika  kwenye kumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, Agosti 17, 2020.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika  Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu jijini vya Dar es salaam yaliyofanyika  kwenye kumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, Agosti 17, 2020. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.