Friday, April 3, 2020

WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU WAMPONGEZA KATIBU MKUU MWALUKO WAKATI WA KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akifurahia keki aliyopewa na watumishi wa Ofisi yake wakati wa kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa  leo tarehe, 3 Aprili 2020 iliyofanyika katika viwanja vya Ofisi hiyo jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko pamoja na Afisa Habari wa Ofisi hiyo Bi. Nyamagory Omary wakikata keki wakati wa hafla fupi ya kumpongeza Katibu Mkuu huyo aliyezaliwa tarehe ya leo. tarehe 03 Aprili, 2020.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akimlisha keki Afisa Habari wa Ofisi hiyo Bi. Nyamagory Omary kwa niaba ya wafanyakazi wenzake wakati wa hafla fupi ya kumpongeza na kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, leo tarehe 3 Aprili, 2020.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akimlisha keki Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Bajeti ya ofisi hiyo Bw. Packshard Mkongwa wakati hafla fupi ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa iliyoandaliwa na watumishi wa ofisi hiyo Jijini Dodoma, leo tarehe 3 Aprili, 2020.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akionesha glasi ya kinywaji aina ya champagne wakati wa hafla ya kumpongeza na kumtakia afya njema anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa leo tarehe 3 Aprili,2020.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko  akilishwa keki na  Afisa Habari wa ofisi hiyo Bi. Nyamagory Omary wakati, katibu Mkuu huoy  akiiadhimisha siku yake ya kuzaliwa leo tarehe 3 Aprili, 2020 Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akizungumza na watumishi wa ofisi yake mara baada hafla sherehe fupi ya kumpongeza wakati siku yake ya kuzaliwa huku akuwaasa waendelee kujilinda na janga la homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona.
Katibu Muhtasi Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Madawa Sotery akifungua champagne wakati wa hafla hiyo, leo tarehe 3, Aprili, 2020, wakati wa kumpongeza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko kwa kusherehekea, siku yake ya kuzaliwa.
Baadhi  ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimkabidhi zawadi Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko wakati wa hafla fupi ya kumpongeza katika kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, leo tarehe 3 Aprili, 2020.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko (mwenye miwani) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa ofisi hiyo mara baada ya kumpongeza katika kuisherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akifurahia keki aliyopewa na watumishi wa Ofisi yake wakati wa kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa leo Aprili 3, 2020 iliyofanyika katika viwanja vya Ofisi hiyo jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko (mwenye miwani) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa ofisi hiyo wakati wa sherehe fupi ya kumpongeza na kumtakia heri katika kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa Aprili 3, 2020.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.