Wednesday, April 1, 2020

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA, ASOMA HOTUBA YA MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI, PAMOJA NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2020/2021

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisoma hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali, pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2020/2021, Aprili 1, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Wabunge wakati akiingia Bungeni, kabla ya kusoma hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali, pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2020/2021, Aprili 1, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Wabunge wakati akiingia Bungeni, kabla ya kusoma hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali, pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2020/2021, Aprili 1, 2020.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji), Dorothy Mwaluko (kushoto), akimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati  akisoma hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali, pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2020/2021, Aprili 1, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisoma hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali, pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2020/2021, Aprili 1, 2020.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ikiwaambia Wabunge wazingatie matumizi ya senitizer, katika kujikinga na ugonjwa wa Corona, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 1, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.