Tuesday, October 12, 2021

Waziri Mkuu Majaliwa Awasili Chato Mkoani Geita


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Geita Rosemary Senyamule (wa pili kulia) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye ulemavu Jenista Mhagama  (wa tatu kulia) na viongozi wengine alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Chato, Geita Oktoba 11, 2021 ambapo kesho anatarajia kuzindua wiki ya Vijana Kitaifa


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.