Thursday, October 21, 2021

Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu Utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa Maafa Namba 7 ya Mwaka 2015 Bungeni Dodoma

 

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Patrobas Katambi akitoa ufafanuzi juu ya hoja zilizowasilishwa na wajumbe wa Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu Utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa maafa Namba 7 ya mwaka 2015 Bungeni Dodoma tarehe 20 Oktoba, 2021.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Nagma Giga akiongoza kikao cha kamati hiyo walipokutana kwa lengo la kujadili masuala ya Utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa maafa Namba 7 ya mwaka 2015 Bungeni Dodoma.


Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Kaspar Mmuya akijibu hoja za wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria walipokutana kujadili masuala kuhusu Utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa maafa Namba 7 ya mwaka 2015 Doodma.


Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Menejimenti ya Maafa ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Charles Msangi akiwasilisha taarifa kuhusu masuala ya menejimenti ya maafa wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kilichofanyika Bungeni Dodoma.


Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Patrobas Katambi akinukuu hoja za wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kilichofanyika hii leo.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.