Monday, February 6, 2017

CDF MABEYO AAPISHWA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,  Paul Makonda na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es salaam, Simon Siro (kulia) katika hafla ya kumwapisha Mkuu wa majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, Ikulu jijini Dar es salaam Februari 6, 2017.
 Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein  akiteta na  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  katika hafla ya kumwapisha Jenerali,  Venance Mabeyo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Tanzania, Ikulu jijini Dar es salaam Februari 6, 2017.
 Rais  John Pombe Magufuli akifurahia katika mazungumzo kati yake na  Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania(CDF), Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) na Mkuu wa Majeshi ya  Ulinzi ya Tanzania Mstaafu, Jenerali Davis Mwamunyange baada ya kumwapisha  CDF Mabeyo, Ikulu jijini Dar es salaam Februari 6, 2017.
Rais John Pombe Magufuli akiteta na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  baada ya Rais kumwapisha Mkuu wa majeshi ya Ulinzi, Jenerali  Venance Mabeyo, Ikulu jijini Dar es salaam  Februari 6, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.