Tuesday, February 14, 2017

MAJALIWA APOKEA MADAWATI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akipokea mchango wa sh.  milioni 5.5 kutoka kwa Mhasibu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Rose Makange (katikati)ukiwa ni mchango wa watumishi wa TAMISEMI kwa ajili ya madawati wilayani Ruangwa. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu, mjini Dodoma Februari 14, 2017. Kulia ni Rose Nyoni.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) baada ya kupokea  Sh. milioni 5.5 ukiwa ni mchango wa watumishi wa Ofisi hiyo kwa ajili ya madawati wilayani Ruangwa. Makabidhiano  hayo yalifanyika, Ofisini kwa Waziri Mkuu mjini Dodoma Februari 14, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) baada ya kupokea mchango wa watumishi hao wa sh. milioni 5.5 kwa ajili ya madawati wilayani Ruangwa. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu mjini Dodoma  Februari 14, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na  baadhi ya watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) baada ya kupokea mchango wa watumishi hao wa sh. milioni 5.5 kwa ajili ya madawati wilayani Ruangwa. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu mjini Dodoma  Februari 14, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.