Sunday, February 19, 2017

MAJALIWA AKERWA NA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU KUWEKA MBOLEA KWENYE MIFUKO INAYOONYESHA KUWA MBOLEA YA KIWANDA HICHO IMEZALISHWA KENYA

Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akionyesha mfuko wa kubebea mbolea ya kiwanda cha Minjingu mkoani Manyara wenye maandishi yanayoonyesha kuwa mbolea hiyo imetengenezwa nchini Kenya. Jambo hilo lilimkera sana Waziri Mkuu na aliuagiza uongozi wa kiwanda hicho kuandika barua ya kumuaomba radhi Rais  John Pombe Magufuli kwa kitendo hicho.
Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha mfuko wa kubebea mbolea ya kiwanda cha Minjingu mkoani Manyara wenye maandishi yanayoonyesha kuwa mbolea hiyo imetengenezwa nchini Kenya. Jambo hilo lilimkera sana Waziri Mkuu na aliuagiza uongozi wa kiwanda hicho kuandika barua ya kumuaomba radhi Rais  John Pombe Magufuli kwa kitendo hicho.
Waziri  Mkuu,Kassim Majaliwa akionyesha mfuko wa kubebea mbolea ya kiwanda cha Minjingu mkoani Manyara wenye maandishi yanayoonyesha kuwa mbolea hiyo imetengenezwa nchini Kenya. Jambo hilo lilimkera sana Waziri Mkuu na aliuagiza uongozi wa  kiwanda hicho kuandika barua ya kumuaomba radhi Rais John Pombe Magufuli kwa kitendo hicho. Kushoto ni Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi, Dkt,Charles Tizeba na wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara,Dkt. Joel Bendera.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.