Wednesday, September 6, 2017

MAJALIWA AKABIDHIWA NA SPIKA WA BUNGE TAARIFA TA KAMATI YA KUCHUNGUZA BIASHARA YA TANZANITE NA ALMASI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Spika wa  Bunge, Job Ndugai Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuchunguza Biashara ya Tanzanite na Almasi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.  Katikati ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati Maalum iliyoundwa na Spika wa Bunge Job Ndugai kuchunguza Biashara ya Tanzaniate wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza  baada ya kukabidhiwa na Spika wa Bunge Job Nduga  Taarifa hiyo kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.

Baadhi ya Wabunge walioshiriki katika hafla ya kupokea Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuichunguza Biashara ya Tanzanite na Almasi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Spika wa Buge, Job Ndugai baada ya kukabidhiwa na Spika Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuichunguza Biashara ya Tanzanite na Almasi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.

Spika wa Buge Job Ndugai akizungumza baada ya kupokea Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuchunguza Biashara ya Tanzanite na Almasi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Spika wa  Bunge, Job Ndugai Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuchunguza Biashara ya Tanzanite na Almasi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.  Katikati ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza baada ya  kupokea Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuchunguza Biashara ya Tanzanite na Almasi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza baada ya  kupokea Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuchunguza Biashara ya Tanzanite na Almasi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati  Maalum iliyoundwa na Spika ya  Kuchunguza Biashara ya Tanzanite baada ya Spika kupokea Tarifa hiyo na kumkabidhi Waziri Mkuu kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 6, 2017. Aliyekaa kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson na aliyeka kulia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Job Ndugai.

Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati  Malum iliyoundwa na Spika   Kuchunguza biashara ya  Almasi baada ya Spika kupokea Taarifa hiyo na kumkabidhi Waziri Mkuu kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septembea 6, 2017. Aliyekaa kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson na aliyeka kulia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Job Ndugai.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.