Thursday, September 21, 2017

MAJALIWA ATEMBELEA KITUO CHA PAMOJA CHA FORODHA CHA NAMANGA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumzana wananchi  kabla ya kuweka jiwe la msingi  la mradi wa maji wa Longido mkoani Arusha Septemba 21, 2017.
Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa Kituo cha Pamoja cha Forodha cha Namanga wilayani Longido wakati alipowasili kituoni hapo, Septemba 21, 2017 kukagua shughuli za kituo hicho Septemba 21, 2017.


Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akizungumza  na viongozi wa Kituo cha Pamoja cha Forodha cha Namanga wilayani Longido  kituoni hapo, Septemba 21, 2017  wakati alipokagua shughuli za kituo hicho Septemba 21, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wafanyabiashara ndogondogo wa eneo la  Namanga wilayani Longido wakati alipotembelea Kituo cha Pamoja cha Forodha cha Namanga Septemba 21, 2017. Kulia wake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.