Wednesday, September 13, 2017

MHAGAMA AKUTANA NA UONGOZI WA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa vyama vya watu wenye ulemavu walipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Dodoma 13 Septemba, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.