Wednesday, September 20, 2017

MAJALIWA ASALIMIANA NA WANANCHI WA CHEMBA, KALEMA NA BELEKO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwasalimia wananchi wa Chemba  mkoani Dodoma wakati alipolazimika kusimama  baada ya kuona umati mkubwa wa wananchi hao waliokuwa wakimsubiri alipokuwa  akisafiri kwa Barbara kwenda Arusha akitoka Dodoma Septemba 20, 2017. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Kalema  wilayani Chemba  wakati alipolazimika kusimama  baada ya kuona umati mkubwa wa wananchi hao waliokuwa wakimsubiri alipokuwa  akisafiri kwa Barbara kwenda Arusha akitoka Dodoma Septemba 20, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Kalema  wilayani Chemba  wakati alipolazimika kusimama  baada ya kuona umati mkubwa wa wananchi hao waliokuwa wakimsubiri alipokuwa  akisafiri kwa Barbara kwenda Arusha akitoka Dodoma Septemba 20, 2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.