Saturday, August 18, 2018

MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA NYUZI CHA TABORA NA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA HUO YA KITETE.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Chuo cha Afya katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora ya Kitete  Agosti 18, 2018.  Wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia akinamama waliojifungua katika wodi ya wazazi kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora ya Kitete Agosti 18, 2018. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua chumba cha upasuaji kilichojengwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora ya Kitete wakati alipotembela hospitali hiyo katika Manispaa ya Tabora, Agosti 18, 2018. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha nyuzi cha Tabora, Urvesh Rajani (kulia) kuhusu    pamba chafu wakati alipotembelea kiwanda  hicho katika Manispaa ya Tabora, Agosti 18, 2018.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha nyuzi cha Tabora, Urvesh Rajani (kulia) kuhusu kinu cha kuchambua pamba  wakati alipotembelea kiwanda  hicho katika Manispaa ya Tabora, Agosti 18, 2018. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama nyuzi za pamba wakati alipotembelea kiwanda cha nyuzi cha Tabora kiichopo kwenye Manispaa hiyo, Agosti 18, 2018. Kulia  ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Urvesh Rajani. 

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama nyuzi za pamba wakati alipotembelea kiwanda cha nyuzi cha Tabora kiichopo kwenye Manispaa hiyo, Agosti 18, 2018. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora,  Aggrey Mwanri.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.