Friday, August 24, 2018

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa China Nchini Tanzani Bibi Wang Ke kabla ya kufanya naye mazungumzo ya kikazi katika Ofisi yake ndogo Jijini Dar es salaam leo Agosti 24/2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Balozi wa China Nchini Tanzani Bibi Wang Ke wakifanya mazungumzo ya kikazi katika Ofisi yake ndogo Jijini Dar es salaam leo Agosti 24/2017.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.