Friday, August 31, 2018

MAJALIWA AMWAKILISHA JPM MKUTANO WA FOCAC NCHINI NCHINI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere akienda China kuwakilisha Rais John Magufuli katika Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya Afrika  na China  (FOCAC), Agosti 31, 2018. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere akienda China kuwakilisha Rais John Magufuli katika Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya Afrika  na China  (FOCAC), Agosti 31, 2018. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kabla ya kuondoka nichini kwenda China kumwakilisha Rais John Magufuli  Katika Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya Afrika na China (FOCAC), Agosti 31, 2018. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.