Tuesday, August 7, 2018

WAZIRI MKUU AKUTANA NA WADAU WA ZAO LA MCHIKICHI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Kilimo Charles Tizeba, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni, Mrajis wa Vyama vya Ushirika Taifa Titto Haule, Mkuu wa JKT Meja Jenerali Martin Busungu, Mkuu wa Jeshi la Magereza Phaustin Kasike na Wadau wa zao la mchikichi, kuhusu maendeleo ya zao hilo, kwenye ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini Dar es salaam Agosti 7, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.