Sunday, August 26, 2018

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMJLIA HALI DR HAMISI KIGWANGALA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amjulia hali Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla,  leo Agosti 26.2018 akiwa anaendelea kupatiwa  matibabu katika Wodi aliyolazwa ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa,  Muhimbili (MOI).


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.