Friday, August 17, 2018

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA KATIKA MJI MDOGO WA NZEGA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Mbunge wa Viti Maalum, Munde Tambwe wakati alipowasili kwenye uwanja wa Parking katika mji mdogo wa Nzega kuhutubia mkutano wa hadhara, Agosti 17, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa Parking katika mji mdogo wa Nzega kuhutubia mkutano wa hadhara, Agosti 17, 2018. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Parking katika mji mdogo wa Nzega Agosti 17, 2018.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.