Friday, May 22, 2020

WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU 3,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO SEHEMU ZA KAZI

Sehemu ya Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani).
Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani). Kushoto ni Afisa Kazi kutoka Kitengo cha Huduma za Ajira Bw. Hussein Hassan na Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa GIBRL Business Solutions Ltd, Bi. Hadija Jabir.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela akitoa taarifa kuhusu Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mafunzo wanayopatiwa vijana hao na waajiri katika mkoa huo. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza jambo na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela mara baada ya kuwasili mkoani Iringa wakati wa ziara ya kuwatembelea waajiri wenye vijana wanaopatiwa mafunzo sehemu za kazi “Intenship” Mei 21, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.