Tuesday, May 19, 2020

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KARAKANA YA MITAMBO YA WAKALA WA UFUNDI NA UMEME (TEMESA)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia ghala la spea za magari, katika yadi ya TEMESA, jijini Dodoma, May 19, 2020, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala hao wa Ufundi na Umeme (TEMESA).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia magari, katika yadi ya TEMESA, jijini Dodoma, May 19, 2020, yaliyofika kwa ajili ya matengenezo, wakati alipotembelea karakana hiyo ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia mashine ya kukandamizia vipuri, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Mtendaji Mkuu wa TEMESA, Mhandisi Japhet Maselle, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020, 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020, alipotembelea karakana hiyo.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia mashine ya kupimia matairi, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020, 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimsikiliza, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimsikiliza, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na watumishi wa TEMESA, baada ya kukagua karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimpa onyo, Mtendaji Mkuu wa TEMESA, Mhandisi Japhet Maselle, baada ya kutoridhishwa na utendaji wake, wakati alipotembelea karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020, katikati ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, baada ya kukagua karakana ya mitambo ya wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Dodoma, May 19, 2020,



EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.