Wednesday, May 13, 2020

WAZIRI MKUU AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA UCHAGUZI (NEC), LILILOPO NDEJENGWA, JIJINI DODOMA.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasili kwenye Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, wakati alipoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, linalojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMA JKT, May 13, 2020.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, May 13, 2020.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Msimamizi na Meneja Mradi, Godwin Maro, wakati alipoenda kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), iliyopo Njedengwa, jijini Dodoma, May 13, 2020.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye  Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo Njedengwa, jijini Dodomalinalojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMA JKT, May 13, 2020.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.